Soma hapa jinsi ya kuwa na nguvu za kiume za kutosha pasipo hata kutumia DAWA
Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume haraka
Makala hii ni maalumu kwa ajili ya wanandoa tu na si
vinginevyo au kama elimu kwa wanandoa watarajiwa.
Muogope Mungu uzinzi ni dhambi kubwa sana.
Katika kilele cha juu kabisa cha furaha katika ndoa,
kama inavyojulikana, ni sherehe inayopatikana katika
tendo lenyewe la ndoa. Ingawa, ili furaha hiyo
ipatikane ni lazima tendo hilo liwe limefanyika katika
hali ya afya kwa wanandoa wote wawili.
Nguvu za kiume ni neno linalotumika mara nyingi
kumaanisha ‘Uwezo wa mwanaume kufanya tendo la
ndoa’ . Na inapokuwa tofauti na hivi, tunaita ni
‘kupungua au kukosa nguvu za kiume’.
Kupungukiwa kwa nguvu za kiume hutofautiana toka
mtu mmoja hadi mwingine. Inaweza kuwa ni hali ya
kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume, au hali
ya kutokuwa na uwezo wa kufika kileleni kwa muda
mzuri wa kutosha.
Pamoja na hayo yote, elimu mhimu ambayo
mwanaume anatakiwa kuwa nayo, ni kuwa nguvu za
kiume hazipatikani kwa kutumia madawa ya kemikali
au mahala pengine; bali zinatokana na vyakula
tunavyokula kila siku.
Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume haraka
1. Ndizi
Wakati unafikiria uwezo wa kufanya vema tendo la
ndoa unatakiwa kuwaza juu ya uimara wa misuli ya
mwili ambayo inatajwa kuwa ni sehemu kuu na yenye
muhimu katika kujamiiana. Kwa msingi huo ulaji wa
ndizi mbivu unatajwa kusaidia kujenga misuli mwilini
na kumfanya mtu aweze kuwa hodari katika tendo la
ndoa.
Kuwa na stamina ni muhimu katika ufanyaji mapenzi.
Ndizi ni chanzo kikubwa cha vitamin B ambayo
husaidia sana katika kuongeza stamina na nguvu
mwilini hasa wakati wa kufanya kazi nzito.
Ndizi ina kimeng’enyo cha Bromelain ambacho
huongeza nguvu za kiume, ashki ya mapenzi ( libido).
2. Tikiti maji
Matikiti maji ni tunda muhimu sanna kwa kulinda
ndoa inatakiwa walau kwa siku upate vipande viwili
au vitatu na sasa yapo kwa wingi ushindwe wewe na
ni muhimu ukala na mbegu zake.
Tunda hili lina faida nyingi pamoja na kuwa ni chanzo
kikuu cha Protini, Mafuta, Nyuzinyuzi,
Wanga,Calcium, Phosphorus, Chuma,Vitamin A,B6,C.
Potasium, Magnesium, Carotene, anthocyanins na
Virutubisho vingine vingi.
Tunda linasaidia kuwa na uwezo mkubwa wa
kuimalika kwa misuli na mfumo wa fahamu kufanya
kazi zake vizuri na kuondoa katika hatari ya kupata
shinikizo la juu la damu .
Faida nyingine 12 za tikiti maji kiafya ukiacha hii ya
nguvu za kiume
• Asilimia 92 yake ni maji
• Vitamini A ndani yake huboresha afya ya macho
• Vitamini C ndani yake huimarisha kinga ya mwili,
• Huponya majeraha,
• Hukinga uharibifu wa seli
• Huboresha afya ya meno na fizi
• Vitamini B6 husaidia ubongo kufanya kazi vema
• Hubadilisha protin kuwa nishati
• Chanzo cha madini ya potasiamu
• Husaidia kushusha na kuponya shinikizo la damu
• Hurahisisha mtiririko wa damu mwilini
• Huondoa sumu mwilini
Kula tikiti maji kila siku huku ukitafuna na zile mbegu
zake, fanya mara hivi mara kwa mara.
3. Unga wa Mbegu za maboga
Maajabu mengine ya mbegu za maboga ambayo
ulikuwa huyajuwi bado.
Utaniuliza kivipi zinaondoa tatizo la upungufu wa
nguvu za kiume? Kwanza kabisa zinaondoa msongo
wa mawazo kitu ambacho ni namba 1 katika
kusababisha upungufu wa nguvu za kiume.
Lakini pia zinashusha lehemu (cholesterol), zinatibu
kisukari, zinatibu tezi dume (matatizo kama ya ngiri
nk), zinashusha kisukari, zina protini nyingi ya
kutosha na yenye ubora na mbaya zaidi ni kuwa zina
madini ya ZINKI madini mhimu kuliko kitu kingine
chochote kwenye upande wa nguvu za kiume na
kinga ya mwili.
Bado huelewi? Zina madini ya chuma pia
Uzuri ni kuwa mbegu hizi hazina uchungu wowote, ni
tamu kuzitafuna wakati wowote na mahali popote
hata ukiwa ofisini unaweza kuwa nazo pembeni
unatafuna huku unaendelea na kazi zako.
Sambamba na hilo kama tulivyoona pale juu kwamba
zinaongeza maziwa kwa mama anayenyonyesha kwa
upande wa wanaume zinaongeza pia uwingi wa
mbegu za kiume (sperm count) ukitafuna mbegu za
maboga siku mbili tu utaona ukimwaga bao linatoka
la kutosha na zito kweli kweli basi ujuwe ni mbegu
za maboga hizo.
Soma pia hii > Magonjwa hatari 10 yanayotibika kwa
kutumia mbegu za maboga
4. Kitunguu swaumu
Kitunguu saumu kina allicin, kiambato kinachosaidia
mzunguko mzuri wa damu kwenye viungo vya uzazi.
Kuwa na mzunguko mzuri wa damu kwenye uume ni
sababu kubwa ya kuongeza stamina ya kufanya
mapenzi.
Sifa kuu za kitunguu saumu zinazokifanya kuwa na
uwezo na faida nyingi mwilini ni kuwa na viasili
kadhaa ambavyo vina uwezo tofauti tofauti.
Baadhi ya viasili hivi husaidia kutanuka kwa mishipa
ya damu ( vasodilation kwa lugha ya kiingereza) kwa
kubadilisha polysulphides zilizo ndani yake kuwa
hydrogen sulphides kwenye seli nyekundu za damu.
Pia, kitunguu saumu husaidia kuthibiti kiwango cha
kemikali iitwayo homocystine mwilini na hivyo
kupunguza madhara ya kisukari. Kitunguu saumu
kina allicin , kiambato ambacho husaidia mwili kuwa
na mzinguko mzuri wa damu hadi kwenye viungo vya
uzazi.
Kuwa na damu ya kutosha katika uume husababisha
hiki kiungo kusimama na hivyo kustaimili tendo la
ndoa kwa muda mrefu.
Namna ya kutumia kitunguu swaumu:
1. Chukuwa kitunguu swaumu kimoja
2. Kigawanyishe katika punje punje
3. Chukua punje 6
4. Menya punje moja baada ya nyingine
5. Kisha vikatekate (chop) vipande vidogo vidogo
sana na kisu na uache hivyo katika hewa kwa dakika
10
6. Meza kama unavyomeza dawa na maji nusu lita
kila unapoenda kulala. Namna nyingine nzuri zaidi ni
kuviweka ndani ya kikombe kimoja (robo lita) cha
mtindi freshi koroga vizuri na unywe na hii itakusaidia
kupunguza harufu mbaya ya kitunguu swaumu huku
ukipata faida nyingine mhimu zilizomo kwenye
mtindi.
Fanya hivi kila baada ya siku 1 unapoenda kulala
kwa wiki 3 mpaka 4. Unaweza pia kuendelea
kukitumia hata kama unmepona tatizo lako. Ukiona
kichwa kizito au kinauma pumzika kutumia kitunguu
swaumu kwa siku 3 hivi kisha endelea tena, mhimu
usitumie kila siku bali ni kila baada ya siku 1.
Soma pia hii > Jitibu magongwa 30 kwa kutumia
kitunguu swaumu
5. Siagi ya Karanga
Karanga ni chanzo kikubwa cha kujenga protini
mwilini. Karanga huwa na kiwango kikubwa cha
amino asidi ambayo husaidia kuweka vizuri mfumo
wa damu, hivyo kusababisha kuongezeka kwa
kiwango cha ufanyaji mapenzi.
Siagi ya karanga ina kiasi kingi cha mafuta masafi
yasiyoweza kusababisha kolesto/lehemu mwilini
(unsaturated fats) na kiasi kingi cha protini, vitu hivi
viwili vinafanya kazi ya kuongeza nguvu mwilini.
Siagi ya karanga ina kalori nyingi zitakazokuwezesha
ubaki ni mwenye nguvu kutwa nzima.
Kwakuwa ni chanzo kizuri cha madini ya chuma,
shaba, magnesium, na potasiamu, siagi ya karanga ni
nzuri sana katika kuuweka katika usawa mzuri
mzunguko wa damu mwilini.
Kadharika kiasi kingi cha protini kilichomo kwenye
siagi ya karanga kinasadikika kuwa na uwezo wa
kuongeza nguvu au uwezo wa mwili na kutengeneza
mishipa mingi na imara zaidi.
Kaanga kidogo karanga bila kuziunguza na usizitie
chumvi, kisha zimenye au ondoa maganda yake.
Saga kwenye blenda huku ukiongeza kidogo kidogo
mafuta yoyote ya mboga mboga kama ya alizeti au
mafuta ya karanga, ongeza sukari au asali kidogo na
chumvi kidogo.
Mimi napenda zaidi kuitumia kwenye mkate lakini pia
unaweza kuongeza siagi ya karanga kwenye karibu
kila mboga ya majani, samaki na kadharika. Ukiacha
radha yake nzuri na tamu, siagi ya karanga ni
chakula chenye afya na nguvu nyingi na isiyo na
takataka zozote zisizohitajika na mwili.
Soma na hii > faida 12 za siagi ya Karanga kiafya
6. Parachichi
Chakula ambacho husaidia kuongeza uwezo wa mtu
kufanya tendo la ndoa ni Parachichi.
Tunda hili linauwezo mkubwa wa kuzalisha vitamini E
ambayo husaidia katika uzalishaji wa homoni.
Inatajwa kuwa watu wanaotumia tunda hili kwa wingi
huwana msisimko mkali wa kimapenzi na kwa
upande wa wanawake husaidia kuongezamajimaji
yenye utelezisehemu za siri na hivyo kuzuia
uwezekano wa kuchubuka wakati wa kujamiiana.
Hili ni tunda ambalo watafiti wamebaini kwamba lina
uwezo wa kuongeza nguvu za kiume. Tunda hili lina
uwezo mkubwa wa kuzalisha vitamini E. Vitamini E
husaidia katika uzalishaji wa homoni zinazosaidia
kuongeza nguvu za kiume.
Kulingana na watafiti tofauti, watu wanaotumia tunda
hili kwa wingi huwa na msisimko mkali haswa wakati
wa kufanya mapenzi. Pia, faida za tunda hili
haziengemei upande wa wanaume pekee.
Katika upande wa wanawake, tunda hili husaidia
kuongeza majimaji yaliyo na utelezi katika sehemu za
siri za mwanamke ili kuzuia uwezekano wa
kuchubuka wakati wa tendo la ndoa.
7. Pilipili
Pia pilipili unaweza changanya kwenye chakula au
ukala hivyo hivyo kwani zinasaidia mzunguko
mkubwa wa damu kwa maana hiyo kufanya kuwa na
hisia kali za mapenzi kwa hiyo pili pili ni chachu ya
kuuamsha hisia
8. Pweza na chaza
Aina hizi za samaki zinazovuliwa baharini huwa na
madini ya zink na chumvi ambayo yanatajwa kusaidia
uzalisha wa vichocheo vinavyohamasisha msisimko
wa mwili wakati wa tendo la ndoa.
Wataalam na wanasayanzi wa ndani kutoka Hospitali
ya Taifa Muhimbili na wa Kimataifa wamethibitisha
kuwa supu ya pweza ina uwezo wa kuongeza nguvu
za kiume.
Wataalam hao wanadai kuwa supu hiyo inafanya kazi
hiyo kwa asilimia kubwa tofauti na madawa mengine
ya kemikali.
9. Chocolate
Chocolate inasaidia kuongeza stamina kwenye
kufanya mapenzi kwasababu ina viambato
vya phenylethylamine na alkaloid . Phenylethylamine ni
kiambato kinachopelekea kujisikia vizuri, hasa wakati
wa kufanya mapenzi na alkaloid huongeza stamina
na nguvu wakati wa mapenzi.
10. Maji ya Kunywa
Inapendeza kunywa maji mengi kwa siku na mtu
ajitahidi anywe hata zaidi ya lita tanao kama
walivyoshauri wataalam wa mambo hayo.
Maji pia usaidia kuondoa ugonjwa mwilini na homa za
mara kwa mara.tikiti majihusaidia kuamasha hamasa
mwili.
Kitu gani husababisha uume usimame?
Unaweza kujibu ni msisimko. Ni kweli, Jibu lako
linaweza kuwa sahihi. Hata hivyo msisimko ni
matokeo . Kipo kinachosababisha kutokea huo
msisimko. Bila hicho, hakuna msisimko unaoweza
kutokea.
Kila mwanaume anatakiwa kujuwa jibu sahihi la swali
hili ili atakapopatwa na tatizo atambuwe wapi pa
kuanzia na pa kuishia. Siyo lazima uwe daktari, Elimu
ya kutambua mfumo wako wa mwili unavyofanya
kazi ni mhimu sana kwa kila mtu na si kwa madaktari
pekee kama watu wengi mnavyodhani.
Kutokusoma soma lolote kuhusu miili yetu
inavyofanya kazi ndiyo sababu kubwa inayotufanya
kuparamia dawa kiholela na hivyo kujikuta tunapata
madhara zaidi badala ya kujitibu.
Mzunguko wa damu ndicho kitu kinachofanya uume
USIMAME. Na kabla hujaendelea kusoma tambua
jambo moja mhimu; ‘’Asilimia 94 ya damu ni maji’’.
Hii ni kusema katika kila lita 10 za damu, lita 9 kati
ya hizo 10 ni maji. Kwa kifupi maji ndiyo kila kitu
mwilini, nakushauri upendelee Kunywa maji bila
KUSUBIRI KIU.
Mzunguko wa damu unaofanya kazi vizuri kama
inavyotakiwa na usio na hitilafu yeyote ni kipengele
mhimu sana katika afya ya mwili, mishipa na
kusimama kwa uume wako.
Comments
Post a Comment